April 30, 2026
MKUTANO WA KUANZISHA KAMATI YA KUENDESHA MRADI,MAALUM KWA KUBORESHA ELIMU MJUMUISHO KWA WATU WASIOONA NA WENYE UALBINO
Tarehe 16 April 2026 ZANAB ilifanya mkutano wa kuanzisha kamati ya kuendesha mradi maalum kwa kuboresha elimu mjumuisho kwa watu wasioona na wenye ualbino Wilaya ya Magharibi "B"Fuoni
Mkutano huo ulifanyika ofisi ya elimu Fuoni uliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo masheha na watu wenye ulemavu
Jumuiya ya wasioona zanzibar(ZANAB) imekuwa inatekeleza mradi wa upatikanaji wa huduma bora za afya,elimu jumuishi na ustawi wa kiuchumi kwa watu wasioona na wenye ualbino.Huu ni mradi wa miaka mitatu ulioanza mwaka huu 2026 na kumalizika 2028.Mradi unafadhiliwa na shirika la MyRight kupitia washirika wao kutoka chama cha wasioona cha Swiden(SRF).
Mkutano huo ulifanyika ofisi ya elimu Fuoni uliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo masheha na watu wenye ulemavu
Jumuiya ya wasioona zanzibar(ZANAB) imekuwa inatekeleza mradi wa upatikanaji wa huduma bora za afya,elimu jumuishi na ustawi wa kiuchumi kwa watu wasioona na wenye ualbino.Huu ni mradi wa miaka mitatu ulioanza mwaka huu 2026 na kumalizika 2028.Mradi unafadhiliwa na shirika la MyRight kupitia washirika wao kutoka chama cha wasioona cha Swiden(SRF).